Showing posts with label Music. Show all posts
Showing posts with label Music. Show all posts

Young D kama Lil Wayne…Tazama Hapa Ujionee Ni Hatariiiiii




Lil Wayne ni msanii wa Hiphop lakini aliwahi kujaribu kutoa album ya rock ambayo inaitwa Rebirth yenye hit singles kama Knock Out na Porm Queen . Sasa Young D amefanya aina hii hiyo ya nyimbo na video yake imetoka unaweza kuicheki hapa.

LINAH AIBWAGA RASMI THT..SOMA ZAIDI


Mwanamuziki ambaye ni zao la Jumba la Vipaji Tanzania ‘THT’ Estalina Sanga ‘Linah’ ameaga rasmi jumba hilo ambapo inadaiwa kwa sasa atakuwa chini ya Kampuni ya No Fake Zone ‘NFZ’ inayoendesha shughuli zake nchini Afrika Kusini.

Sentensi 4 alizoziongea Ally Kiba kuhusu Diamond Platnumz.......KIBA BUAAAANA


Mtaani kumekua na stori nyingi sana zinazowahusisha mastar kutoka Kigoma Ally Kiba pamoja na Diamond Platnumz na maneno mengi yamekua ni kuhusu uhusiano wao kama wanamuziki.

Unamkumbuka Rapa aliyejikata sehemu za siri? kaja na hii mpya.


Mwezi April ilisambaa stori juu ya mwanamuziki wa Hip Hop Andre Johnson kujikata sehemu zake za siri ambapo stori hiyo iliripotiwa na vyombo kadhaa duniani lakini mbali na kujikata sehemu hizo alijirusha kutoka juu ya jumba moja mjini Los Angeles.

Hivi ndivyo Shetta alivyoogeshwa July 16 kwenye futari iliyoandaliwa na THT.


Mara nyingi birthday party za washkaji huwa zinasindikizwa na umwagiwaji wa maji kwa mhusika,sasa unaambiwa hii ya Shetta imekua kiboko pengine kutokana na sehemu aliyokuwepo.

THT YAANDAA HAFLA YA KUMUAGA MSANII LINAH JIJINI DAR

 Mkurugenzi wa Tanzania House Of Talent (THT) Ruge Mutahaba akiongea katika halfa ya kumuaga msanii Linah jana Julai 16, 2014 kutoka kwao na kuelekea kampuni ya No Fake Zone (NFZ) ambao ndiyo wanaanza kumsimamia msanii huyo. 

Ebana wacheki Nikki wa Pili na Joh Makini enzi zao utotoni


Hii picha ni kwa hisani ya instagram account ya Nikki wa pili ambapo picha yenyewe inawaonyesha Nikki wa pili, Joh Makini wakiwa na mama yao.

Picha Za Nicki Minaj Zinazongelewa Zaidi Mtandaoni





Nick Minaj na Drake wakiwa kwenye jukwa moja walifanya show kali iliyotengeneza stori nyingi kuhusu mahusiano yao. Drake alionekana akimshika Nicki Minaj kimahaba zaidi.

DR DRE AWAZAWADIA TIMU YA UJERUMANI HEAD PHONES 24 ZA DHAHABU KWA KUTWAA UBINGWA WA DUNIA


Dre gold-2


Rapper, producer na mwanzilishi wa Beats Electronics, Dr. Dre ni miongoni mwa mashabiki wa timu ya taifa ya Ujerumani iliyotwaa kombe la FIFA la dunia jana (July 13) nchini Brazil.Kutokana na ushindi huo wa Ujerumani Dre ameamua kuipongeza timu hiyo kwa zawadi special ya headphones za dhahabu (special edition 24 carat gold dipped Beats Pro headphones). Wachezaji wote 23 watapata headphones kila mmoja pamoja na meneja wao wa 24.

Hii hapa video mpya ya Young Killer – My Power



Baada ya video ya Mrs.Super Star hii ni video mpya ya Young Killer hapa kamshirikisha Damian Soul,video hii imefanywa na Director Jackson Joachim wimbo unaitwa My Power umefanywa studio mbili nazo ni Classic Sound na Kili Records.