REAL MADRID KUTUA NCHINI AGOSTI 22

KUMEKUCHA. Hivyo ndivyo unavyoweza kusema kuhusu ziara ya kikosi cha wachezaji nyota waliowahi kutamba Real Madrid ya Hispania, maarufu kama Real Madird Legends ambao watazuru nchini mwezi ujao. Wachezaji waliotamba kuanzia La Liga, wakacheza ligi nyingine za Ulaya, Kombe la Ulaya, Ligi ya Mabingwa na Kombe la Dunia waliowahi kuchezea Madrid watakuja nchini Agosti 22.
Wanakuja bongo; Roberto Carlos, Ronaldo Lima, Luis Figo na Zinadine Zidane wanatarajiwa kuzuru na kikosi cha magwiji wa Real Madrid nchini mwezi ujao 
Katika ziara hiyo, pamoja na kucheza mchezo wa kirafiki na kikosi maalum cha wachezaji nyota wa Tanzania, pia watafanya utalii katika vivutio mbalimbali, ikiwemo kupanda mlima Kilimanjaro.

Makalio Madogo Ni kikwazo Kwa Wanawake Wengi!! Bofya Hapa


Wanawake nchini Venezuela wanatumia kemikali haramu kuongeza ukubwa wa makalioyao na kujiletea madhara makubwa ya kiafya Hii ni kutokana na mtindo ambao unaonekana na wengi nchini humo kwamba mwanamke mwenye makalio makubwa ndiye anayependeza zaidi

"BIFU" ZITO ROSE NDAUKA NA CHARLZ BABA


Ni dhahiri kuwa sasa , staa wa filamu za Kibongo, Rose Ndauka na Rais wa Bendi ya Mashujaa Musica, Charles Gabriel ‘ Chaz Baba ’ wapo kwenye bifu zito.

Habari kutoka kwa chanzo chetu zinasema kuwa , chanzo cha bifu hilo ni fedha , ambapo Rose alikodisha gari la Chaz Baba kwa ajili ya matumizi yake lakini akalirudisha likiwa limeharibika na kumuomba Chaz alitengeneze kisha angemlipa fedha zake, lakini hakufanya hivyo .

JAJA AMWAGA WINO JANGWANI, SASA KUITUMIKIA MIAKA MIWILI

jajacontr
 Jaja akipokea nakala ya mkataba wake kutoka kwa Katibu Mkuu wa Young Africans Bw Beno Njovu leo maraa baada ya kusaini kuitumikia kwa miaka miwili
HATIMAYE mshamabuliaji Geilson Santos Santana “Jaja”  raia wa Brazil leo amesaini mkataba wa miaka miwili (2014-2016) kuitumikia timu ya Young Africans kwa ajili ya michuano mbalimbali ikiwemo ya Ligi Kuu ya Vodacom pamoja na mashindano ya Kombe la Shirikisho barani Afrika mwakani.

LAANA HII...!! HUYU NDIYE KIJANA REGANI KUTOKA FACEBOOK AKIJINADI KUWA NI SHOGA KUPITIA...TAZAMA PICHA ZAKE HAPA





SHOGA AZUA UTATA FB Awasumbua baadhi ya washikaji wengi akiwataka kufanya nao kwich kwich wengi awa2mia picha zake za utupu jina la shoga mwenyewe hili hapaaa Mchacho Regan Mchacho Regan

MTAMBUE SERENGETI BOY ALIYEDATA NA PENZI LA JACK WOLPER, HUYU HAPA

Modo wa Tanzania anayejulikana kwa jina la Calisah ambaye amewahi kushiriki Mr.Tanzania 2013-2014 ameandika picha za kimahaba katika picha za msanii maarufu wa filamu, Jackline Wolper ‘Gambe’… “Umenifanya nisitamani mwanamke yeyote katika dunia hii.

DIAMOND AMVISHA TENA PETE YA UCHUMBA WEMA SEPETU...JIONEE MWENYEWE HAPA

Beautiful Onyinye, Wema Isaac Sepetu (25) akionyesha pete aliyovishwa na Diamond.

Wema Isaac Sepetu (25) ameibua viulizo baada ya kuonekana akirandaranda na pete ya ndoa kidoleni ikidaiwa kuwa amevalishwa na Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ kwa siri kubwa, Ijumaa Wikienda lina stori exclusive.


Baada ya kuwepo kwa habari nyingi kuhusiana na ishu hiyo, Ijumaa Wikienda liliingia mzigoni kusaka ukweli wa ishu hiyo na kujua mbivu na mbichi.